Tuesday, September 07, 2010

HUYU NDIYE DUNSTAN KITANDULA





































"Maneno si lazima yawe mengi—picha yenyewe yaeleza. Kwa ndugu zetu wa Mkinga, kazi ya maendeleo imeanza. Tunatambua si kila mmoja ana mtandao, lakini kwa wachache walioweza kuona, wasambaze ujumbe: Kasi mpya inakuja na mwelekeo unaonekana, hatua zitachukuliwa.

 

No comments:

đŸ”´đŸ”´TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...