Tuesday, September 07, 2010

HUYU NDIYE DUNSTAN KITANDULA





































"Maneno si lazima yawe mengi—picha yenyewe yaeleza. Kwa ndugu zetu wa Mkinga, kazi ya maendeleo imeanza. Tunatambua si kila mmoja ana mtandao, lakini kwa wachache walioweza kuona, wasambaze ujumbe: Kasi mpya inakuja na mwelekeo unaonekana, hatua zitachukuliwa.

 

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...