Tuesday, September 07, 2010

HUYU NDIYE DUNSTAN KITANDULA





































"Maneno si lazima yawe mengi—picha yenyewe yaeleza. Kwa ndugu zetu wa Mkinga, kazi ya maendeleo imeanza. Tunatambua si kila mmoja ana mtandao, lakini kwa wachache walioweza kuona, wasambaze ujumbe: Kasi mpya inakuja na mwelekeo unaonekana, hatua zitachukuliwa.

 

No comments:

MSAJILI HAZINA ASHIRIKI UZINDUZI UJENZI MGODI WA MADINI KINYWE

  Na Mwandishi wa OMH Mahenge, Morogoro. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameshiriki uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa mgodi wa madi...