Tuesday, September 07, 2010

Ngoma za kwetuuuzzz

Wasanii wa ngoma za asili wa kikundi cha Dhahabu wakitumbuiza kwenye mkutano wa wadau kujadili mambo muhimu ya Katiba ya Jamhuri ya muungano na mabadiliko ya kumi ya Katiba ya Zanzibar, jijini Dar es Salaam leo. Picha na Michael Jamson

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...