Wednesday, September 08, 2010

Midahalo sumu kwa CCM



Wafuasi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa nje wa hoteli huku wakifurahia mara baada ya kumalizika mdahalo wa Wagombea wa ubunge wa jimbo la Arusha Mjini uliofanyika katika hoteli ya Golden Rose mjini Arusha, mdahalo huo ulikuwa ukirushwa na Shirika la Utangazaji nchini (TBC1) na mgombea wa CCM katika jimbo hilo Batilda Burian aliingia mitini, taarifa zilizopatikana baadaye zilieleza kuwa wagombea wote wa CCM wamepigwa marufuku kushiriki midahalo ya aina hiyo kwa kuwa inawapotezea pointi baada ya mgombea wa ubunge jimbo la Ubungo, Hawa Nghumbi kuchemka kujibu maswali katika mdahalo uliopita(PICHA NA MOSES MASHALLA)

No comments:

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...