Monday, September 13, 2010

Dk Slaa afunika Bunda


Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ),Dk.Willibrod Slaa,akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa mji wa Bunda, Kwenye uwanja wa Sabasaba katika mfululizo wa kampeni zake jana.Picha na Joseph Senga

2 comments:

emu-three said...

Natumai ipo siku nchi yetu itaijua demokrasia ya kweli, na mambo ya kupokezana madaraka vyama kwa vyama itakuwa jambo la kawaida!

Anonymous said...

Nimeipenda hii Mshitu wewe tupakulie tu hizi news achana na hao ambao wako chama oriented...

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...