Monday, September 06, 2010

Vuvuzela Original


Mzee wa Kabila la Wahehe, Lucas Mtumbuka (74), akipuliza vuvuzela la kienyeji linalotambulika kwa jina la Baragumu, wakati wa makaribisho ya Mgombea Mwenza Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Manispaa ya Iringa jana Sept 05 kufanya mkutano wa kampeni na kumnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa mjini, Monica Mbega.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...