Monday, September 06, 2010

Vuvuzela Original


Mzee wa Kabila la Wahehe, Lucas Mtumbuka (74), akipuliza vuvuzela la kienyeji linalotambulika kwa jina la Baragumu, wakati wa makaribisho ya Mgombea Mwenza Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Manispaa ya Iringa jana Sept 05 kufanya mkutano wa kampeni na kumnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa mjini, Monica Mbega.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...