Sunday, September 26, 2010

Mtoto wa Mkulima yuko Iowa


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Senetor wa Jimbo la Aiwa nchini Marekani, Chuck Grassley wakati lipozungumza na wanachama wa Shirika lisilo la Kiserikali la Empower Tanzania kwenye ukumbi wa Chuo Kikuu cha Aiowa,leo.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Dean of Students wa Iowa State University of Agriculture and Life Science, Windy Wintersteen kwenye ukumbi wa Chuo hicho nchini Marekani, leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiendesha trekta kubwa la kulimia aina ya John Deere wakati alipotembelea shamba la mahindi la Summit katika jimbo la Iowa nchini Marekani. Kampuni hiyo inakusudia kuwekeza katika kilimo nchini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: