Saturday, September 11, 2010

TIGO wazindua huduma yao ya Tigo Pesa kwa kishindo Coco Beach

Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongofleva Joe Makini akikamua jioni ya leo wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Tigo iitwayo Tigo Pesa ndani ya Coco Beach jijini Dar ambao maelfu ya watu walijitokeza kushuhudia uzinduzi huo uliofana kwa kiasi kikubwa.

Maelfu ya watu kutoka vitongoji mbalimbali vya jiji la Dar jioni ya leo

Mwanamuziki machachari Dully Sykes akiwaimbisha watazamaji wimbo wake wa Shikide jioni ya leo Picha na habari zaidi

http://michuzijr.blogspot.com/2010/09/tigo-wazindua-huduma-yao-ya-tigo-pesa.html

1 comment:

Anonymous said...

Tunataka habari za siasa TIGO ndo nini?

Au htaki tufungue blog yako?

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...