Saturday, September 11, 2010

TIGO wazindua huduma yao ya Tigo Pesa kwa kishindo Coco Beach

Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongofleva Joe Makini akikamua jioni ya leo wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Tigo iitwayo Tigo Pesa ndani ya Coco Beach jijini Dar ambao maelfu ya watu walijitokeza kushuhudia uzinduzi huo uliofana kwa kiasi kikubwa.

Maelfu ya watu kutoka vitongoji mbalimbali vya jiji la Dar jioni ya leo

Mwanamuziki machachari Dully Sykes akiwaimbisha watazamaji wimbo wake wa Shikide jioni ya leo Picha na habari zaidi

http://michuzijr.blogspot.com/2010/09/tigo-wazindua-huduma-yao-ya-tigo-pesa.html

1 comment:

Anonymous said...

Tunataka habari za siasa TIGO ndo nini?

Au htaki tufungue blog yako?

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...