Saturday, September 04, 2010

Kikwete ahutubia Ngerengere leo


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ngerengere Morogoro vijijini wakimsalimia kwa shauku mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,Dr.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi kabla ya mgombea huyo kuwahutubia katika mkutano wa hadhara wa kampeni leo asubuhi (picha na Freddy Maro)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...