Sunday, September 12, 2010

Mambo ya Chadema hayo


Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa (wa nne kushoto), akiwaongoza wagombea wa ubunge na udiwani, kuwaaga wananchi kijiji cha Igombe katika jimbo la Ilemela mkoani Mwanza, baada ya mkutano wake wa kampeni jana. (Picha na Joseph Senga)

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...