Sunday, September 12, 2010

Mambo ya Chadema hayo


Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa (wa nne kushoto), akiwaongoza wagombea wa ubunge na udiwani, kuwaaga wananchi kijiji cha Igombe katika jimbo la Ilemela mkoani Mwanza, baada ya mkutano wake wa kampeni jana. (Picha na Joseph Senga)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...