Sunday, September 12, 2010

Mambo ya Chadema hayo


Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa (wa nne kushoto), akiwaongoza wagombea wa ubunge na udiwani, kuwaaga wananchi kijiji cha Igombe katika jimbo la Ilemela mkoani Mwanza, baada ya mkutano wake wa kampeni jana. (Picha na Joseph Senga)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA TRA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya M...