Tuesday, September 21, 2010

Rage Hoyeeee, ndivyo anavyoonekana kusema Dk Bilal


Mgombea Mwenza wa Urais Kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Tabora mjini, Aden Ismail Rage, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwrnye Uwanja wa Shule ya Sekondari Uyui jana Sept 21.

2 comments:

Anonymous said...

CCM sijui inaelekea wapi! mwogope kama kama ukoma mtu aliyekanyaga mahakama kwa sababu ya matumizi mabaya ya fedha za umma au za taasisi. Watanzania mbona tunasau kirahisi kuhusu past events?

Hata hivyo siwezi shangaa sana kwani, ni juzi Kikweti akimnadi Fisadi mkuu eti jembe la zamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

hii inaonyesha kabisa ufisadi wa sisiemu, jamaa zangu tabora kumchagua huyu jamaa rage ni kama vile kumkaribisha kicheche katika banda la kuku tunajua matokeo yake. msomali wa dom samater yussuf

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...