
Urais kupitia CCM, Jakaya Kikwete akiwajibu wananchi wa Mvomero baada ya kuombwa awarejeshee shamba analomiliki Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye alipokuwa kwenye ziara yake kampeni ya uchaguzi mkuu mkoani Morogoro jana. Picha na Edwin Mjwahuzi.
Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...
1 comment:
hakuna haja ya kusubiri jibu toka kwa mfisadi, rudisha shamba na kura hatukupi, jamani wazalendo aamkeni msisubiri jibu lake wakati wa uchaguzi, chukueni sheria mikononi mafisadi wanaelewa hiyo lugha!!!
Post a Comment