
Urais kupitia CCM, Jakaya Kikwete akiwajibu wananchi wa Mvomero baada ya kuombwa awarejeshee shamba analomiliki Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye alipokuwa kwenye ziara yake kampeni ya uchaguzi mkuu mkoani Morogoro jana. Picha na Edwin Mjwahuzi.
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
1 comment:
hakuna haja ya kusubiri jibu toka kwa mfisadi, rudisha shamba na kura hatukupi, jamani wazalendo aamkeni msisubiri jibu lake wakati wa uchaguzi, chukueni sheria mikononi mafisadi wanaelewa hiyo lugha!!!
Post a Comment