Monday, September 06, 2010

Wananchi wamwambia Kikwete tunataka shamba letuu


Urais kupitia CCM, Jakaya Kikwete akiwajibu wananchi wa Mvomero baada ya kuombwa awarejeshee shamba analomiliki Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye alipokuwa kwenye ziara yake kampeni ya uchaguzi mkuu mkoani Morogoro jana. Picha na Edwin Mjwahuzi.

1 comment:

Anonymous said...

hakuna haja ya kusubiri jibu toka kwa mfisadi, rudisha shamba na kura hatukupi, jamani wazalendo aamkeni msisubiri jibu lake wakati wa uchaguzi, chukueni sheria mikononi mafisadi wanaelewa hiyo lugha!!!

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...