Mzee wa Mshitu na familia yake wanasikitika kutangaza kifo cha kaka yao, Rubani na Meja wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Hussein Charahani, aliyefariki Dunia usiku wa kuamkia Jumanne ya April 13, 2010 katika hospitali kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam na amezikwa nyumbani Nachingwea Aprili, 16 mwaka huu. Alikuwa rubani mahiri wa ndege za kijeshi na mtu mwenye kutegemewa sana katika Jeshi na pia familia yake.
Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. Amina.
Kwa Habari zaidi
Wednesday, April 21, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE
Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
1 comment:
Pole kaka Yach. Tunaomba Mungu amlaze mahali pema peponi na pia aitangulie familia katika wakati huu mgumu.
Post a Comment