Thursday, April 08, 2010

NEC yaibuka na mambozz


MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Chipukizi wakati akienda kusalimiana na wananchi na wajumbe wa mkutano huo wa NEC, alipowasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kuendesha kikao hicho.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...