Thursday, April 08, 2010

NEC yaibuka na mambozz


MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Chipukizi wakati akienda kusalimiana na wananchi na wajumbe wa mkutano huo wa NEC, alipowasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kuendesha kikao hicho.

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...