
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Chipukizi wakati akienda kusalimiana na wananchi na wajumbe wa mkutano huo wa NEC, alipowasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kuendesha kikao hicho.
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
No comments:
Post a Comment