Thursday, April 08, 2010

NEC yaibuka na mambozz


MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Chipukizi wakati akienda kusalimiana na wananchi na wajumbe wa mkutano huo wa NEC, alipowasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kuendesha kikao hicho.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...