Friday, April 30, 2010

Ngoma za asili


Kikundi cha ngoma za asili cha Simba wa Vita wakitumbuiza kwenye maadhimisho ya kupiga vita ugonjwa wa saratani ya matiti yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Jamson

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...