Friday, April 30, 2010

Ngoma za asili


Kikundi cha ngoma za asili cha Simba wa Vita wakitumbuiza kwenye maadhimisho ya kupiga vita ugonjwa wa saratani ya matiti yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Jamson

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...