Friday, April 30, 2010

Ngoma za asili


Kikundi cha ngoma za asili cha Simba wa Vita wakitumbuiza kwenye maadhimisho ya kupiga vita ugonjwa wa saratani ya matiti yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Jamson

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KAMATI YA KITUO CHA KUDHIBITI MAGONJWA AFRIKA (CDC)

New York, Marekani – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa mifumo endelevu ya ...