Friday, April 02, 2010

Rais Jakaya Kikwete apokea ujumbe kutoka Misri


Rais Jakaya Kikwete akipokea ujumbe kutoka kwa Rais wa Misri Hosni Mubarak wa Misri toka kwa Mhe.Profesa Mohamed Nasr El-Deem Allam ambaye ni Waziri wa maji na Umwagiliaji wa Misri ikulu jijini Dar leo asubuhi. Picha Freddy Maro/ Ikulu

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...