Monday, April 05, 2010

Wahamiaji haramu


Wahamiaji kharamu kutoka nchini Somalia wakipandishwa kwenye gari la polisi mara baada ya kukamatwa wakiwa katika kisiwa cha Songo Mnara ambako walitelekezwa na manahodha wa boti waliyokuwa wakisafiria baada ya kuwadanganya kuwa wameshafika Msumbiji walikokuwa wakielekea jumla ya wahamiaji 67 walikamatwa. Picha na Said Powa

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...