Monday, April 05, 2010

Wahamiaji haramu


Wahamiaji kharamu kutoka nchini Somalia wakipandishwa kwenye gari la polisi mara baada ya kukamatwa wakiwa katika kisiwa cha Songo Mnara ambako walitelekezwa na manahodha wa boti waliyokuwa wakisafiria baada ya kuwadanganya kuwa wameshafika Msumbiji walikokuwa wakielekea jumla ya wahamiaji 67 walikamatwa. Picha na Said Powa

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...