Monday, April 05, 2010

Wahamiaji haramu


Wahamiaji kharamu kutoka nchini Somalia wakipandishwa kwenye gari la polisi mara baada ya kukamatwa wakiwa katika kisiwa cha Songo Mnara ambako walitelekezwa na manahodha wa boti waliyokuwa wakisafiria baada ya kuwadanganya kuwa wameshafika Msumbiji walikokuwa wakielekea jumla ya wahamiaji 67 walikamatwa. Picha na Said Powa

No comments:

SAMIA APEPERUSHA BENDERA YA USHIRIKIANO EAC, AKUTANA NA KATIBU MKUU IKULU CHAMWINO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ...