Monday, April 05, 2010

Wahamiaji haramu


Wahamiaji kharamu kutoka nchini Somalia wakipandishwa kwenye gari la polisi mara baada ya kukamatwa wakiwa katika kisiwa cha Songo Mnara ambako walitelekezwa na manahodha wa boti waliyokuwa wakisafiria baada ya kuwadanganya kuwa wameshafika Msumbiji walikokuwa wakielekea jumla ya wahamiaji 67 walikamatwa. Picha na Said Powa

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...