Monday, April 05, 2010

Beach party la thumni lafana Coco Beach


Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakikabidhi Thumni kwa Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando ambapo kila aliyekabidhi thumni moja alipewa zawadi ya vocha ya muda wa mawasiliano wa sh 10,000 wakati wa uzinduzi wa Tigo Thumni katika tamasha la Pasaka Beach Party lililofanyika Coco Beach jijini Dar wikiendi hii

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Faridi Kubanda ‘Fid Q’ akitumbuiza katika uzinduzi wa Tigo Thumni katika tamasha la Pasaka Beach Party ilofanyika Coco Beach jijini Dar wikiendi hii.
KWA HABARI ZA KINA ZAIDI KUHUSU TUKIO HILI HEBU TEMBELEA hapa

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...