Monday, April 05, 2010

Beach party la thumni lafana Coco Beach


Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakikabidhi Thumni kwa Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando ambapo kila aliyekabidhi thumni moja alipewa zawadi ya vocha ya muda wa mawasiliano wa sh 10,000 wakati wa uzinduzi wa Tigo Thumni katika tamasha la Pasaka Beach Party lililofanyika Coco Beach jijini Dar wikiendi hii

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Faridi Kubanda ‘Fid Q’ akitumbuiza katika uzinduzi wa Tigo Thumni katika tamasha la Pasaka Beach Party ilofanyika Coco Beach jijini Dar wikiendi hii.
KWA HABARI ZA KINA ZAIDI KUHUSU TUKIO HILI HEBU TEMBELEA hapa

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...