Mzee wa Mshitu na familia yake wanasikitika kutangaza kifo cha kaka yao, Rubani na Meja wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Hussein Charahani, aliyefariki Dunia usiku wa kuamkia Jumanne ya April 13, 2010 katika hospitali kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam na amezikwa nyumbani Nachingwea Aprili, 16 mwaka huu. Alikuwa rubani mahiri wa ndege za kijeshi na mtu mwenye kutegemewa sana katika Jeshi na pia familia yake.
Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. Amina.
Kwa Habari zaidi
Wednesday, April 21, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CHEREKO ZATAWALA BANDA LA REA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI GEITA
Furaha na shangwe (chereko) zimetawala katika Banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakati wananchi walipofurika kununua majiko ya gesi ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
Pole kaka Yach. Tunaomba Mungu amlaze mahali pema peponi na pia aitangulie familia katika wakati huu mgumu.
Post a Comment