Monday, April 05, 2010

Jumatatu ya Pasaka


WAUMINI WA KANISA KATOLIKI ZANZIBAR WAKITOKA NJE BAADA YA KUMALIZA KUSALI MISA YA JUMATATU YA PASAKA KWENYE KANISA LA MTAKATIFU JOSEFU MJINI ZANZIBAR.

WANAKWAYA YA MTAKATIFU JOSEFU,KANISA KATOLIKI ZANZIBAR WAKITUMBUIZA KWENYE MISA YA JUMATATU YA PASAKA LEO.

Mvua za masika zinazoendelea kunyesha Visiwani Zanzibar zimesababisha maeneo mengi kujaa maji, pichani barabara ya Ally Hassan Mwinyi inayoanzia Darajani hadi Mlandege ikionekana imefurika maji mengi kiasi cha kuwa kero kwa wenye maduka na wapita njia.
PICHA ZOTE NA MARTIN KABEMBA.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KAMATI YA KITUO CHA KUDHIBITI MAGONJWA AFRIKA (CDC)

New York, Marekani – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa mifumo endelevu ya ...