Monday, April 05, 2010

Jumatatu ya Pasaka


WAUMINI WA KANISA KATOLIKI ZANZIBAR WAKITOKA NJE BAADA YA KUMALIZA KUSALI MISA YA JUMATATU YA PASAKA KWENYE KANISA LA MTAKATIFU JOSEFU MJINI ZANZIBAR.

WANAKWAYA YA MTAKATIFU JOSEFU,KANISA KATOLIKI ZANZIBAR WAKITUMBUIZA KWENYE MISA YA JUMATATU YA PASAKA LEO.

Mvua za masika zinazoendelea kunyesha Visiwani Zanzibar zimesababisha maeneo mengi kujaa maji, pichani barabara ya Ally Hassan Mwinyi inayoanzia Darajani hadi Mlandege ikionekana imefurika maji mengi kiasi cha kuwa kero kwa wenye maduka na wapita njia.
PICHA ZOTE NA MARTIN KABEMBA.

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...