Wednesday, April 21, 2010

Exim bank yatangaza mafanikio


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Mrs. Sabetha Mwambeja (kati) akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maendeleo ya benki yake, ikiwa ni pamoja na kusambaza huduma mikoani na visiwani Zanzibar. Kulia ni Meneja Mkuu wa Benki hiyo Dinesh Arora. Photo/ Fidelis felix

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...