Wednesday, April 21, 2010

Exim bank yatangaza mafanikio


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Mrs. Sabetha Mwambeja (kati) akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maendeleo ya benki yake, ikiwa ni pamoja na kusambaza huduma mikoani na visiwani Zanzibar. Kulia ni Meneja Mkuu wa Benki hiyo Dinesh Arora. Photo/ Fidelis felix

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...