Wednesday, April 21, 2010

Exim bank yatangaza mafanikio


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Mrs. Sabetha Mwambeja (kati) akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maendeleo ya benki yake, ikiwa ni pamoja na kusambaza huduma mikoani na visiwani Zanzibar. Kulia ni Meneja Mkuu wa Benki hiyo Dinesh Arora. Photo/ Fidelis felix

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...