Thursday, April 29, 2010

Ziara ya Waziri Mkuu


Mwanamke wa kijiji cha Msungua wilayani Singida (jina halikupatikana) akifurahia hotuba ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika ziara ya mkoa huo, Aprili 28, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza na Sister Maria Tesha wa Kituo cha Masister wa Kanisa Katoliki cha Ursula cha Mkiwa wilayani Singidaambako ameambatana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda anayeendelea na Ziara ya Mkoa huo, Aprili 28, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...