Thursday, April 29, 2010

Ziara ya Waziri Mkuu


Mwanamke wa kijiji cha Msungua wilayani Singida (jina halikupatikana) akifurahia hotuba ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika ziara ya mkoa huo, Aprili 28, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza na Sister Maria Tesha wa Kituo cha Masister wa Kanisa Katoliki cha Ursula cha Mkiwa wilayani Singidaambako ameambatana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda anayeendelea na Ziara ya Mkoa huo, Aprili 28, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...