Thursday, April 29, 2010

Ziara ya Waziri Mkuu


Mwanamke wa kijiji cha Msungua wilayani Singida (jina halikupatikana) akifurahia hotuba ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika ziara ya mkoa huo, Aprili 28, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza na Sister Maria Tesha wa Kituo cha Masister wa Kanisa Katoliki cha Ursula cha Mkiwa wilayani Singidaambako ameambatana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda anayeendelea na Ziara ya Mkoa huo, Aprili 28, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...