Magari yakiwa yamekwama kwenye tope eneo la Kiwanga mkoani Pwani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini na kusababisha usumbufu kwa wasafiri. Magari hayo yalikuwa yakitokea Dares Salaam na mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara yalikwama kwa siku mbili. (Picha na Exuper Kachenje)
Tuesday, April 06, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SERIKALI YAIMARISHA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA PETROLI NCHINI MALAWI
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi ji...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment