Tuesday, April 06, 2010

Usafiri wa Kusini


Magari yakiwa yamekwama kwenye tope eneo la Kiwanga mkoani Pwani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini na kusababisha usumbufu kwa wasafiri. Magari hayo yalikuwa yakitokea Dares Salaam na mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara yalikwama kwa siku mbili. (Picha na Exuper Kachenje)

No comments:

SAMIA APEPERUSHA BENDERA YA USHIRIKIANO EAC, AKUTANA NA KATIBU MKUU IKULU CHAMWINO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ...