Tuesday, April 06, 2010

Usafiri wa Kusini


Magari yakiwa yamekwama kwenye tope eneo la Kiwanga mkoani Pwani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini na kusababisha usumbufu kwa wasafiri. Magari hayo yalikuwa yakitokea Dares Salaam na mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara yalikwama kwa siku mbili. (Picha na Exuper Kachenje)

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...