Tuesday, April 06, 2010

Usafiri wa Kusini


Magari yakiwa yamekwama kwenye tope eneo la Kiwanga mkoani Pwani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini na kusababisha usumbufu kwa wasafiri. Magari hayo yalikuwa yakitokea Dares Salaam na mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara yalikwama kwa siku mbili. (Picha na Exuper Kachenje)

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...