Tuesday, April 06, 2010

Usafiri wa Kusini


Magari yakiwa yamekwama kwenye tope eneo la Kiwanga mkoani Pwani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini na kusababisha usumbufu kwa wasafiri. Magari hayo yalikuwa yakitokea Dares Salaam na mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara yalikwama kwa siku mbili. (Picha na Exuper Kachenje)

No comments:

MAKAMU WA RAIS NDEJEMBI AWASILI VIENNA, TANZANIA YAINGIA JUKWAANI KUJADILI NGUVU YA ATOMU KWA MAENDELEO

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi akiongoza kikao cha Maandalizi cha Viongozi na Wataalamu mbali...