Sunday, April 25, 2010

Jk amcheki Mbunge Kimaro


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza jana asubuhi na Mbunge wa Vunjo(CCM) Aloyce Kimaro alyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kuugua shinikizo la damu juzi akiwa bungeni mjini Dodoma. (Picha na Freddy Maro)

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...