Mzee wa Mshitu
Sunday, April 25, 2010
Jk amcheki Mbunge Kimaro
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza jana asubuhi na Mbunge wa Vunjo(CCM) Aloyce Kimaro alyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kuugua shinikizo la damu juzi akiwa bungeni mjini Dodoma. (Picha na Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment