Sunday, April 25, 2010

Miss Universe Tanzania 2010




Miss Universe Tanzania 2010, Hellen Dausen akiwa na taji lake la maua alilopewa baada ya kutangazwa mshindi wa mashindano hayo yaliyoshirikisha mabinti 20, mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam Ijumaa Usiku. Picha na Fidelis Felix.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...