Sunday, April 25, 2010

Miss Universe Tanzania 2010




Miss Universe Tanzania 2010, Hellen Dausen akiwa na taji lake la maua alilopewa baada ya kutangazwa mshindi wa mashindano hayo yaliyoshirikisha mabinti 20, mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam Ijumaa Usiku. Picha na Fidelis Felix.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...