Sunday, April 25, 2010

Miss Universe Tanzania 2010




Miss Universe Tanzania 2010, Hellen Dausen akiwa na taji lake la maua alilopewa baada ya kutangazwa mshindi wa mashindano hayo yaliyoshirikisha mabinti 20, mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam Ijumaa Usiku. Picha na Fidelis Felix.

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...