Thursday, April 01, 2010

Makamanda wa UVCCM


Kamanda mpya wa UVCCM Manispaa ya Moshi,Aggrey Marealle akimvisha kofia ya ukamanda wa UVCCM kata ya Karanga ,Thomas Mangia ambaye pia ni diwani wa kata hiyo.

Kamanda mpya wa UVCCM Manispaa ya Moshi,Aggrey Marealle akimvisha kofia ya ukamanda wa UVCCM kata ya Majengo diwani wa kata hiyo,Christopher Lyimo

Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro,Steven Kazidi akimvisha kofia ya ukamanda wa UVCCM Aggrey Marealle muda mfupi baada ya kusimikwa katika sherehe ambazo zilifanyika nje ya uwanja wa soko la pasua,Marealle pia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa.

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...