Thursday, April 01, 2010

Makamanda wa UVCCM


Kamanda mpya wa UVCCM Manispaa ya Moshi,Aggrey Marealle akimvisha kofia ya ukamanda wa UVCCM kata ya Karanga ,Thomas Mangia ambaye pia ni diwani wa kata hiyo.

Kamanda mpya wa UVCCM Manispaa ya Moshi,Aggrey Marealle akimvisha kofia ya ukamanda wa UVCCM kata ya Majengo diwani wa kata hiyo,Christopher Lyimo

Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro,Steven Kazidi akimvisha kofia ya ukamanda wa UVCCM Aggrey Marealle muda mfupi baada ya kusimikwa katika sherehe ambazo zilifanyika nje ya uwanja wa soko la pasua,Marealle pia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...