Wednesday, April 07, 2010

Maghorofa mapya ya Michenzani


MAGHOROFA MICHENZANI YANAVYOONEKANA SASA

ZAMANI ILIKUWA HIVI
Maghorofa mpya yaliyopo mtaa wa Michenzani Zanzibar yaliyoanza kujengwa kwaajili ya makazi bora ya Wananchi wa Zanzibar na hayati Mzee Abeid Amani Karume na kukamilishwa na Rais wa sasa Amani Abeid Karume.Makazi hayo tayari yamenza kugawanywa kwa wananchi waliokusudiwa kwa utaratibu maalumu(picha na Freddy Maro)

No comments:

SERIKALI YAIMARISHA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA PETROLI NCHINI MALAWI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi ji...