Thursday, April 01, 2010

Alhamis Kuu Zanzibar


MAPADRI WA KANISA KATOLIKI JIMBO LA ZANZIBAR WAKIINGIA KANISANI KWA MAANDAMANO KUADHIMISHA MISA AMBAPO WALIRUDIA VIAPO VYAO MBELE YA ASKOFU WA JIMBO HILO AUGUSTINO SHAO KWENYE KANISA LA MTAKATIFU JOSEFU MJINI ZANZIBAR JANA.

ASKOFU WA KANISA KATOLIKI JIMBO LA ZANZIBAR, AUGUSTINO SHAO AKITOA MAHUBIRI KWA WAUMINI WALIOHUDHURIA MISA YA KUWAOMBEA MAPADRI KWA KAZI YAO YA WITO ILIYOFANYIKA KWENYE KANISA LA MTAKATIFU JOSEFU MJINI ZANZIBAR JANA.
PICHA NA MARTIN KABEMBA.

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...