Wednesday, April 07, 2010

Rais kikwete ahudhuria Karume Day Zanzibar



Rais Jakaya Mrisho Kikwete(Watano kulia) Rais Wa Zanzibar Amani Abeid Karume (Wasita kulia),pamoja viongozi wengine wa kitaifa wakiomba dua katika kaburi la muasisi wa mapinduzi ya Zanzibar Hayati Mzee Abeid Amani Karume huko katika ofisi kuu ya CCm Kisiwandui Zanzibar leo asubuhi.wengine katika picha kutoka kushoto Naibu Waziri kiongozi wa SMZ Ali Juma Shamuhuna,Naibu Katibu mkuu CCM Zanzibar Salehe Ramadhani Feruzi,Waziri kiongozi wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha, na makamu wa Rais Dr.Ali Mohamed Shein.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete(wanne kushoto) na Rais Amani Abeid Karume wakiwa katika ibada maalumu ya kumkumbuka muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Hayati Mzee Abeid Amani Karume iliyofanyika katika ofisi kuu ya CCM Kiswandui Zanzibar leo asubuhi.Wengine katika picha kutoka kushoto ni spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho, Naibu Waziri kiongozi wa SMZ Bwana Ali Juma Shamhuna, Naibu Katibu kuu wa CCM Zanzibar Salehe Ramadhani Feruzi,Makamu wa Rais Dr. Ali Mohamed Shein(Wa saba kushoto),Waziri Kiongozi wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha,Waziri Kiongozi Mstaafu wa SMZ Mohamed Gharib Bilal na Katibu Mkuu wa CUF Seif Shariff Hamad.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KAMATI YA KITUO CHA KUDHIBITI MAGONJWA AFRIKA (CDC)

New York, Marekani – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa mifumo endelevu ya ...