Thursday, December 14, 2006

Mnara huu uko karibu kabisa na CNN



Ipo minara mingi hapa jijini, lakini huu unasababu yake kubwa kuwekwa humu, nayo ni kwamba upo karibu na makao makuu ya CNN.

2 comments:

Anonymous said...

wewe uko mji gani?

Vempin Media Tanzania said...

nipo New York hapa Manhattan lakini wiki ijayo ntakuwa bongo

MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI: DKT BITEKO

  -Asema ni ndoto ya watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika -Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wanan...