KILA kona ulikuwa ukipita rat a tat!! hiyo si mitaa ya mijini, peke yake bali nchi nzima. Tatizo mgawo wa umeme au kiufupi tuseme ukosefu wa umeme umekuwa Kero!
Kero kwa sababu umesababisha wengi kukosa ajira, kiwango cha uhalifu kuongezeka, umasikini, wizi, uchumi kushuka na kila kitu kibaya unachokijua msomaji.
Wiki hii Shirika la Umeme likatangaza kuwa mgawo sasa basi, sababu kubwa la kufa kimya kimya kwa mgawo huu ni kujaa kwa mabwawa ya Mtera na Kidatu. Inasikitisha!
Inanisikitisha siyo kwa sababu maji yamejaa au kwa kuwa, eti siwatakii watanzania maisha bora na mema, bali ni kutokana na kuwa katika kiwango cha chini cha maendeleo cha kutegemea nature, wakati uwezo tunao wa kutotegemea nature. Unaweza kuendelea zaidi hapakwa kubonya hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
5 comments:
thanks for sharing
VAGINA PINGGUL
VAGINA SILIKON
ELEKTRIK
VAGINA TABUNG
SILIKON
VAGINA SILIKON
MANUAL
VAGINA MUNGIL GETAR
VAGINA
SILIKON ELEKTRIK NUNGGING
OBAT VIMAX
ORIGINAL
OBAT PEMBESAR PENIS
SELAPUT DARA BUATAN
TATTONOX OBAT
PENGHILANG TATTO
VMENPLUS
OBAT KUAT TAHAN LAMA
nice blog
thanks you for sharing
nice blog and article, i like it for good information
Post a Comment