KILA kona ulikuwa ukipita rat a tat!! hiyo si mitaa ya mijini, peke yake bali nchi nzima. Tatizo mgawo wa umeme au kiufupi tuseme ukosefu wa umeme umekuwa Kero!
Kero kwa sababu umesababisha wengi kukosa ajira, kiwango cha uhalifu kuongezeka, umasikini, wizi, uchumi kushuka na kila kitu kibaya unachokijua msomaji.
Wiki hii Shirika la Umeme likatangaza kuwa mgawo sasa basi, sababu kubwa la kufa kimya kimya kwa mgawo huu ni kujaa kwa mabwawa ya Mtera na Kidatu. Inasikitisha!
Inanisikitisha siyo kwa sababu maji yamejaa au kwa kuwa, eti siwatakii watanzania maisha bora na mema, bali ni kutokana na kuwa katika kiwango cha chini cha maendeleo cha kutegemea nature, wakati uwezo tunao wa kutotegemea nature. Unaweza kuendelea zaidi hapakwa kubonya hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
5 comments:
thanks for sharing
VAGINA PINGGUL
VAGINA SILIKON
ELEKTRIK
VAGINA TABUNG
SILIKON
VAGINA SILIKON
MANUAL
VAGINA MUNGIL GETAR
VAGINA
SILIKON ELEKTRIK NUNGGING
OBAT VIMAX
ORIGINAL
OBAT PEMBESAR PENIS
SELAPUT DARA BUATAN
TATTONOX OBAT
PENGHILANG TATTO
VMENPLUS
OBAT KUAT TAHAN LAMA
nice blog
thanks you for sharing
nice blog and article, i like it for good information
Post a Comment