Tuesday, December 05, 2006

Balozi Mahiga Mkutanoni



Jana Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Dk Augustino Mahiga alilihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kubwa likiwa kupiga vita biashara haramu ya almasi za damu. (Picha imepigwa na Athmani Hamisi)

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...