Tuesday, December 05, 2006

Balozi Mahiga Mkutanoni



Jana Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Dk Augustino Mahiga alilihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kubwa likiwa kupiga vita biashara haramu ya almasi za damu. (Picha imepigwa na Athmani Hamisi)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...