Tuesday, December 26, 2006

Ajira kwa watoto!!!


Nia ajenda pana sana hii, kila mmoja ana tafsiri yake na kila mwenye tafsiri ana tafsiri ndogo ndogo. Hapa watoto wako na vigunia vyao huku Masasi. Picha ya Mpoki Bukuku.

WILLIAM LUKUVI: SAFARI YA MWALIMU ALIYEGUSA TAIFA, SAUTI ILIYOJENGA SIASA ZA HUDUMA

Marehemu William Vangimembe Lukuvi alizaliwa Agosti 15, 1955 katika kijiji cha Mapogoro, mkoani Iringa—mahali palipomlea katika misingi ya n...