Tuesday, December 26, 2006

Ajira kwa watoto!!!


Nia ajenda pana sana hii, kila mmoja ana tafsiri yake na kila mwenye tafsiri ana tafsiri ndogo ndogo. Hapa watoto wako na vigunia vyao huku Masasi. Picha ya Mpoki Bukuku.

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...