Tuesday, December 26, 2006

Ajira kwa watoto!!!


Nia ajenda pana sana hii, kila mmoja ana tafsiri yake na kila mwenye tafsiri ana tafsiri ndogo ndogo. Hapa watoto wako na vigunia vyao huku Masasi. Picha ya Mpoki Bukuku.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...