
Shirika la ndege la Tanzania ATC limeingiza nchini dege jipya lenye siti 102 aina ya boeing 737-200 (hili ni kubwa kwetu msicheke) kutoka kampuni ya Celtic Capital Corporation ya Canada linaanza kazi leo.
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuz...
1 comment:
Mtumba huo au brand new?
Post a Comment