
Shirika la ndege la Tanzania ATC limeingiza nchini dege jipya lenye siti 102 aina ya boeing 737-200 (hili ni kubwa kwetu msicheke) kutoka kampuni ya Celtic Capital Corporation ya Canada linaanza kazi leo.
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
1 comment:
Mtumba huo au brand new?
Post a Comment