Wednesday, December 20, 2006

Rafiki arejea toka Marekani

Pichani ni rafiki yangu Mayunga Ntangalo, Mtanzania aliyeishi miaka zaidi ya saba anazo stori nyingi saana za kusimulia wabongo. Ni mtunzi wa vitabu anasifika Marekani kwa novel yake maarufu, Odd Scratches ambayo inauzwa katika maduka mbalimbali na hata kati Ebay na Amazon na ni mwalimu, mtafute.

2 comments:

Ndesanjo Macha said...

Mzee wa Mashitu,
Natafuta anuani pepe ya Mayunga.

ARAWAY Media Tanzania said...

Ndesanjo anuani ya huyu jamaa sina ila anaweza kupatikana amekumbwa na masahibu makubwa sana huko ughaibuni naweza nikakupa details sitaki kuziweka hapa.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...