Pichani ni rafiki yangu Mayunga Ntangalo, Mtanzania aliyeishi miaka zaidi ya saba anazo stori nyingi saana za kusimulia wabongo. Ni mtunzi wa vitabu anasifika Marekani kwa novel yake maarufu, Odd Scratches ambayo inauzwa katika maduka mbalimbali na hata kati Ebay na Amazon na ni mwalimu, mtafute.
Wednesday, December 20, 2006
Rafiki arejea toka Marekani
 Pichani ni rafiki yangu Mayunga Ntangalo, Mtanzania aliyeishi miaka zaidi ya saba anazo stori nyingi saana za kusimulia wabongo. Ni mtunzi wa vitabu anasifika Marekani kwa novel yake maarufu, Odd Scratches ambayo inauzwa katika maduka mbalimbali na hata kati Ebay na Amazon na ni mwalimu, mtafute.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
- 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
 - 
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
 - 
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
 
2 comments:
Mzee wa Mashitu,
Natafuta anuani pepe ya Mayunga.
Ndesanjo anuani ya huyu jamaa sina ila anaweza kupatikana amekumbwa na masahibu makubwa sana huko ughaibuni naweza nikakupa details sitaki kuziweka hapa.
Post a Comment