Wednesday, December 20, 2006

Rafiki arejea toka Marekani

Pichani ni rafiki yangu Mayunga Ntangalo, Mtanzania aliyeishi miaka zaidi ya saba anazo stori nyingi saana za kusimulia wabongo. Ni mtunzi wa vitabu anasifika Marekani kwa novel yake maarufu, Odd Scratches ambayo inauzwa katika maduka mbalimbali na hata kati Ebay na Amazon na ni mwalimu, mtafute.

2 comments:

Ndesanjo Macha said...

Mzee wa Mashitu,
Natafuta anuani pepe ya Mayunga.

Vempin Media Tanzania said...

Ndesanjo anuani ya huyu jamaa sina ila anaweza kupatikana amekumbwa na masahibu makubwa sana huko ughaibuni naweza nikakupa details sitaki kuziweka hapa.

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...