Tuesday, December 05, 2006

BALOZI DK. MAHIGA AKITOA MUHTASARI WA MKUTANO WA UN

Jopo la waandishi wa habari waliopo jijini New York wakimsikiliza Balozi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Dk Augustine Mahiga.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...