Wednesday, December 13, 2006

Kituo Kipya cha televisheni

hili ni bango la kituo kipya cha televisheni cha Marekani kinachoifagilia Afrika, humo ni Isidingo, bongo music na kadhalika. Kituo kina makao makuu yake Los Angeles hapa Marekani na kitaanza kurusha matangazo hivi karibuni, stay in touch.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...