Wednesday, December 13, 2006

Kituo Kipya cha televisheni

hili ni bango la kituo kipya cha televisheni cha Marekani kinachoifagilia Afrika, humo ni Isidingo, bongo music na kadhalika. Kituo kina makao makuu yake Los Angeles hapa Marekani na kitaanza kurusha matangazo hivi karibuni, stay in touch.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...