Sunday, December 17, 2006

Maandamano New York



Wanaharakati wakiandamana wakiandamana katika barabara ya tano ya mitaa ya Manhattan, jijini hapa (New York) kupinga unyama aliofanyiwa kijana mwenye asili ya kiafrika Sean Bell ambaye alipigwa risasi hamsini.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...