Sunday, December 17, 2006

Maandamano New York

Wanaharakati wakiandamana wakiandamana katika barabara ya tano ya mitaa ya Manhattan, jijini hapa (New York) kupinga unyama aliofanyiwa kijana mwenye asili ya kiafrika Sean Bell ambaye alipigwa risasi hamsini.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...