ko katika Barabara ya Saba namba 555 katika eneo la Fashion District jijini New York, The Garment Worker (Mfanyakazi wa Nguo) ni sanamu ya shaba ya ukubwa halisi iliyoandaliwa na Judith Weller, inayoonyesha mhamiaji wa Kiyahudi akifanya kazi kwenye mashine ya kushona. Mfanyakazi huyo amevaa yarmulke (kofia ya Kiyahudi), ikiwa ni ishara ya makusudi kuonyesha utambulisho na mila ya Kiyahudi. Weller aliiunda sanamu hiyo kwa kumchora baba yake, ambaye alikuwa fundi wa mashine katika sekta ya ushonaji nguo jijini New York. Imetengenezwa mwaka 1984, sanamu hii ya kudumu ni heshima kwa wafanyakazi wa Kiyahudi katika viwanda vya nguo waliokuwa nguzo kuu ya sekta hiyo mwanzoni mwa karne ya 20. Picha hii niliipiga mwenyewe nikiwa Jijini New York, Mrekani
Monday, December 11, 2006
Sanamu ya "The Garment Worker" Yaonyesha Mchango wa Wafanyakazi wa Kiyahudi Katika Sekta ya Ushonaji Nguo New York
ko katika Barabara ya Saba namba 555 katika eneo la Fashion District jijini New York, The Garment Worker (Mfanyakazi wa Nguo) ni sanamu ya shaba ya ukubwa halisi iliyoandaliwa na Judith Weller, inayoonyesha mhamiaji wa Kiyahudi akifanya kazi kwenye mashine ya kushona. Mfanyakazi huyo amevaa yarmulke (kofia ya Kiyahudi), ikiwa ni ishara ya makusudi kuonyesha utambulisho na mila ya Kiyahudi. Weller aliiunda sanamu hiyo kwa kumchora baba yake, ambaye alikuwa fundi wa mashine katika sekta ya ushonaji nguo jijini New York. Imetengenezwa mwaka 1984, sanamu hii ya kudumu ni heshima kwa wafanyakazi wa Kiyahudi katika viwanda vya nguo waliokuwa nguzo kuu ya sekta hiyo mwanzoni mwa karne ya 20. Picha hii niliipiga mwenyewe nikiwa Jijini New York, Mrekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...

2 comments:
Sanamu la Fundi Charahani wa kwanza kabisa New York.
garment stitching unit ,
cut and sew clothing manufacturers near me ,
m6y70n9i90 k4f21w6g34 n7r73c7z52 s6h01a8o85 s0u47r6h10 m2h10g0p19
Post a Comment