Thursday, December 14, 2006

Mnara huu uko karibu kabisa na CNN



Ipo minara mingi hapa jijini, lakini huu unasababu yake kubwa kuwekwa humu, nayo ni kwamba upo karibu na makao makuu ya CNN.

2 comments:

Anonymous said...

wewe uko mji gani?

ARAWAY Media Tanzania said...

nipo New York hapa Manhattan lakini wiki ijayo ntakuwa bongo

RAIS DKT.MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, AANGALIA MAENDELEO YA UWANJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi , leo Aprili 14, 2026, ameandika historia mpya baada ya kukagua ma...