Sunday, December 17, 2006

Leo asubuhi New York ilikuwa cool sana



Amini usiamini jiji la New York leo asubuhi mpaka saa 5 hivi lilikuwa kimya saana, barabara ziokafungwa kukawa na askari kibao kwaajili ya kusubiria maandamano ya kupinga kupigea risasi 50 kinyama kwa kijana mwenye asili ya kiafrika.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...