Sunday, December 17, 2006

Leo asubuhi New York ilikuwa cool sana



Amini usiamini jiji la New York leo asubuhi mpaka saa 5 hivi lilikuwa kimya saana, barabara ziokafungwa kukawa na askari kibao kwaajili ya kusubiria maandamano ya kupinga kupigea risasi 50 kinyama kwa kijana mwenye asili ya kiafrika.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...