Tuesday, December 26, 2006

Maji jamani maji!!!!


Tatizo la maji ni kerooo, sijui kama washikaji zangu kina Ulimwengu kule Houston, Juma- New York, Deogratius kule Wichita na wengine kibao mnakumbuka hali hii.

No comments:

RC CHALAMILA ATOA SIKU SABA KWA MUAFAKA WA MGOGORO WA ARDHI TOANGOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ametoa muda wa siku saba kwa wadau wanaohusika na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katik...