Tuesday, December 26, 2006

Maji jamani maji!!!!


Tatizo la maji ni kerooo, sijui kama washikaji zangu kina Ulimwengu kule Houston, Juma- New York, Deogratius kule Wichita na wengine kibao mnakumbuka hali hii.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...