Monday, December 11, 2006

Mkurugenzi Kijana



Bw. Edward J. Bergman, kijana mdogo wa miaka 26, Mkurugenzi wa Kampuni ya African Travel Association, kampuni hii inaitangaza Tanzania Marekani, muulize lolote kuhusu Tanzania anaifahamu kuliko wewe.

No comments:

Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...