Friday, April 05, 2013

TIMU YA YANGA KUSAINI MKATABA WA UJENZI WA UWANJA WAO UTAKAOWEZA KUINGIZA WATU WATU 40,000 NA KAMPUNI YA BEIJING YA CHINA MWEZI MEI


Hii ndiyo Ramani ya Uwanja Mpya wa Klabu ya Yanga, utakaojengwa na Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group, ambapo Klabu hiyo inatarajia kusainia mkataba wa kuanza kwa ujenzi wa uwanja huo, Mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu.


Francis Kifukwe (kulia) anapewa somo na wataalamu wa Kampuni hiyo


Mazungumzo yakiendelea.......


Mambo ndivyo yalivyokuwa wakati wa mkutano uliofanyika kwa ajili ya kuonyeshwa ramani ya ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Klabu ya Yanga, uliofanyia leo jijini Dar.


Uwanja mpya wa Yanga utakuwa hivi.


Picha ya pamoja ya viongozi wa Yanga na kampuni hiyo itakayojenga uwanja huo. Picha zote kwa hisani ya Lenzi ya Michezo.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...