Friday, April 12, 2013

Majengo mapya ya NHC Mchikichini yalivyo sasa



Majengo ya nyumba za makazi za NHC Mchikichini yakiwa katika hatua mbalimbali za ujenzi, yatakapokamilika yatakaliwa na familia 48, ambapo katika kila nyumba ina vyumba vitatu jiko na choo pamoja na parking ya kutosha. Majengo hayo yote yamenunuliwa na Watanzania wanaosubiri muda wa mwezi mmoja ama miwili kukabidhiwa funguo zao ili waingie ndani.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...