Friday, April 12, 2013
Majengo mapya ya NHC Mchikichini yalivyo sasa
Majengo ya nyumba za makazi za NHC Mchikichini yakiwa katika hatua mbalimbali za ujenzi, yatakapokamilika yatakaliwa na familia 48, ambapo katika kila nyumba ina vyumba vitatu jiko na choo pamoja na parking ya kutosha. Majengo hayo yote yamenunuliwa na Watanzania wanaosubiri muda wa mwezi mmoja ama miwili kukabidhiwa funguo zao ili waingie ndani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)
. Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...



No comments:
Post a Comment