Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa akisindikizwa na Maelfu ya
wanachama wa chadema muda mfupi baada ya kuwasili mkoani mbeya kuhutubia
kwenye mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe
Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) akihutubia maelfu ya wanachama wa chadema mkoani mbeya jana katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe

Mbunge wa Jimbo la Ilemela-Chadema Highness Kiwia akihutubia maelefu ya wanachama wa chadema mkoani mbeya jana katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa akihutubia maelfu ya wanachama wa chadema kwenye mkutano wa hadhara Mkoani Mbeya Jana katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe katika mkutano huu uliudhuriwa na Mbunge
wa Iringa, Mchungaji Peter Msigwa (Iringa mjini), Ezekiel Wenje(Mwanza
mjini) na Highness Kiwia wa Jimbo la Ilemela. Picha na Chadema
No comments:
Post a Comment