Thursday, April 25, 2013

Wabunge wa Chadema waliotimuliwa Bungeni Waunguruma Mbeya

  Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa akisindikizwa na Maelfu ya wanachama wa chadema muda mfupi baada ya kuwasili mkoani mbeya kuhutubia kwenye mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe

Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) akihutubia maelfu ya wanachama wa chadema mkoani mbeya jana  katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe
 Mbunge wa Jimbo la Ilemela-Chadema Highness Kiwia akihutubia maelefu ya wanachama wa chadema mkoani mbeya jana katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa akihutubia maelfu ya wanachama wa chadema kwenye mkutano wa hadhara Mkoani Mbeya Jana katika Uwanja wa Ruanda-Nzovwe katika mkutano huu uliudhuriwa na  Mbunge wa Iringa, Mchungaji Peter Msigwa (Iringa mjini), Ezekiel Wenje(Mwanza mjini) na Highness Kiwia wa Jimbo la Ilemela. Picha na Chadema

No comments: