
Questionable Foundation.
Hivi ndivyo palivyo palipokuwa eneo lililoporomoka jengo la ghorofa 16 eneo la City Centre mtaa wa Indira Gandhi kifusi kimeondolewa na maiti zimeondolewa Mungu awarehemu mafundi, watoto, vibarua na wapita njia walioangamia.
Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...
No comments:
Post a Comment