Monday, April 01, 2013

Shimo palipokuwa limejengwa jengo la ghorofa 16 lililoporomoka


Questionable Foundation.
 Hivi ndivyo palivyo palipokuwa eneo lililoporomoka jengo la ghorofa 16 eneo la City Centre mtaa wa Indira Gandhi kifusi kimeondolewa na maiti zimeondolewa Mungu awarehemu mafundi, watoto, vibarua na wapita njia walioangamia.

No comments:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ashiriki Kupiga Kura ya Maoni Jimbo la Ruangwa

  Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...