Monday, April 01, 2013

MAAFA MENGINE: WATU ZAIDI YA 18 WAHOFIWA KUFA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI MGODINI JIJINI ARUSHA

 
Eneo la ajali. 
Majeruhi aliyeokolewa.
 
Mwili wa mmojawapo wa marehemu.
 
Wananchi wa eneo hilo wakiwa na simanzi baada ya ajali hiyo.
(Picha zote na www.wavuti.com)
Watu zaidi ya 18 wanahofiwa kuwa wamepoteza maisha baada ya kufukiwa na kifusi wakiwa ndani ya mgodi wa Morrum huko Moshono jijini Arusha. Kwa sasa wanajeshi wanaendelea na zoezi la uokoaji na tayari majeruhi mmoja ameokolewa na miili ya watu watatu. Tukio hili linatokea ikiwa ni siku siku tatu baada ya maafa mengine kutokea jijini Dar es Salaam ambapo watu zaidi ya 30 wamepoteza maisha baada ya jengo la ghorofa 16 kuporomoka. Taarifa zaidi kuwajia hivi punde.
Chanzo: Wavuti

No comments: