Monday, September 06, 2010

Wananchi wamwambia Kikwete tunataka shamba letuu


Urais kupitia CCM, Jakaya Kikwete akiwajibu wananchi wa Mvomero baada ya kuombwa awarejeshee shamba analomiliki Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye alipokuwa kwenye ziara yake kampeni ya uchaguzi mkuu mkoani Morogoro jana. Picha na Edwin Mjwahuzi.

1 comment:

Anonymous said...

hakuna haja ya kusubiri jibu toka kwa mfisadi, rudisha shamba na kura hatukupi, jamani wazalendo aamkeni msisubiri jibu lake wakati wa uchaguzi, chukueni sheria mikononi mafisadi wanaelewa hiyo lugha!!!

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...