Monday, October 05, 2009

Jk yuko safi sasa



Karani katika kituo cha kujiandikisha wapiga kura cha Shule ya Msingi Bunge jijini Dar es Salaam Issa Kipengule akimwongoza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwaaajili ya uchaguzi wa viongozi ngazi ya mtaa.Picha ya Freddy Maro.

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...