Monday, October 05, 2009

Jk yuko safi sasa



Karani katika kituo cha kujiandikisha wapiga kura cha Shule ya Msingi Bunge jijini Dar es Salaam Issa Kipengule akimwongoza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwaaajili ya uchaguzi wa viongozi ngazi ya mtaa.Picha ya Freddy Maro.

No comments:

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΊπŸ‡¬ DIPLOMASIA NA USHIRIKIANO WA TANZANIA–UGANDA WAZIDI KUIMARIKA

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili katika Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam leo, tarehe 06 Agosti 2026, ...