Monday, October 05, 2009

Jk yuko safi sasa



Karani katika kituo cha kujiandikisha wapiga kura cha Shule ya Msingi Bunge jijini Dar es Salaam Issa Kipengule akimwongoza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwaaajili ya uchaguzi wa viongozi ngazi ya mtaa.Picha ya Freddy Maro.

No comments:

UJUMBE WA MAAFISA KUTOKA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA MISRI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA TANZANIA

Leo, tarehe 23/04/2026 Makumbusho ya Taifa la Tanzania imepokea ugeni maalum kutoka Chuo cha Kijeshi Misri (Egypt War College) walioko katik...