Monday, October 05, 2009

Jk yuko safi sasa



Karani katika kituo cha kujiandikisha wapiga kura cha Shule ya Msingi Bunge jijini Dar es Salaam Issa Kipengule akimwongoza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwaaajili ya uchaguzi wa viongozi ngazi ya mtaa.Picha ya Freddy Maro.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...