Sunday, October 11, 2009

Jack Mbando apata jiko


Mshikaji Jackson Mbando akiwa na mke wake Martha Mwale mara tu baada ya kumeremeta jioni hii katika Kanisa la Kilutheri la Kijitonyama, Dar es Salaam. Jackson ni Meneja Uhusiano wa Tigo na mkewe yuko Barclays Bank

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...