Sunday, October 11, 2009

Jack Mbando apata jiko


Mshikaji Jackson Mbando akiwa na mke wake Martha Mwale mara tu baada ya kumeremeta jioni hii katika Kanisa la Kilutheri la Kijitonyama, Dar es Salaam. Jackson ni Meneja Uhusiano wa Tigo na mkewe yuko Barclays Bank

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...