
Mshikaji Jackson Mbando akiwa na mke wake Martha Mwale mara tu baada ya kumeremeta jioni hii katika Kanisa la Kilutheri la Kijitonyama, Dar es Salaam. Jackson ni Meneja Uhusiano wa Tigo na mkewe yuko Barclays Bank
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inatarajia kuanza utekelezaji wa miradi mipya zaidi ya 30 ...
No comments:
Post a Comment